
Baadhi
ya watu wakiisogeza miili ya Wanafunzi wa CBE Dodoma walikufa kutokana
na kuligonga tela la lori kwa nyuma kutokana na mwendo kasi huku lori
hilo likiwa limetelekezwa zaidi ya wiki bila alama yoyote barabarani
hapo.
Miili
ya Marehemu Ramadhan Lesso na Gerge Lwandala inaonakana kabla ya
kuondolewa katika kijiji cha Ihumwa barabara ya Morogoro Dodoma kabala
ya kuondolewa na kuhifadhiwa katika chumba cha maiti hospital ya mkoa.
No comments:
Post a Comment