Saturday, 9 November 2013

HUYU NDIYE MCHAWI ALIYEDONDOSHWA NA MAOMBI YA MAKOMANDOO WA VHM ALFAJIRI

Makomandoo wa VHM wakiwa katika Operation ya kusambaratisha kazi za shetani afajiri baada ya maombi mazito mama aliyekuwa na tumbo kubwa akidhaniwa ni mjamzito kumbe hakuwa na mimba yoyote. Baada ya maombi mazito chini ya usimamizi wa makomandoo ya Yesu kupitia Voice of Hope Ministry  alijikuta akitapika meno ya mbwa, nywele na vitu visivyojulikana. Siku chache

No comments:

Post a Comment