HUYU NDIYE MCHAWI ALIYEDONDOSHWA NA MAOMBI YA MAKOMANDOO WA VHM ALFAJIRI
Makomandoo
wa VHM wakiwa katika Operation ya kusambaratisha kazi za shetani
afajiri baada ya maombi mazito mama aliyekuwa na tumbo kubwa akidhaniwa
ni mjamzito kumbe hakuwa na mimba yoyote. Baada ya maombi mazito chini
ya usimamizi wa makomandoo ya Yesu kupitia Voice of Hope Ministry
alijikuta akitapika meno ya mbwa, nywele na vitu visivyojulikana. Siku
chache
No comments:
Post a Comment