Saturday, 9 November 2013

ANGALIA PICHA JUMA KASEJA AKISAINI MKATABA YANGA

 















Mlinda mlango nambari moja nchini Tanzania kwa kipindi kisichopungua miaka 10 mfululizo Juma Kaseja Juma jana majira ya saa 2 usiku alisaini mkataba wa kuitumikia klabu ya Young Africans yenye makao yake Twiga/Jangwani kwa kipindi cha miaka miwili.
Usajili wa Juma Kaseja kujiunga na klabu ya Yanga unafuatia mapendekezo ya benchi la ufundi katika ripoti waliyoikabidhi kwa kamati ya mashindano kwa ajili ya kuboresha kikosi






Juma Kaseja akisani mkataba wa kuicheza Yanga kwa miaka miwili mbele ya mwenyekiti wa kamati ya mashindano Bin Klebl


No comments:

Post a Comment