
Sunday, 17 November 2013
ANGALIA PICHA YA MWANAMKE ALIYEKATWA MGUU NA MUWE WAKE TARIME

MBWANA SAMATA KUSHINDANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA AFRIKA

Shirikisho
la kandanda barani Afrika CAF limetangaza majina ya wachezaji wa
kiafrika watakaowania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa mwaka 2013 na
Mchezaji bora wa Afrika anayechezea vilabu vya ndani ya Afrika mwaka
2013.
Katika
majina hayo yapo majina mawili ya wachezaji wanaotoka Afrika Mashariki
ambao ni Victor Wanyama raia wa Kenya anachezea Southampton FC ya
England
ambaye ni miongoni mwa wachezaji 25 watakaowania tuzo ya
Mchezaji bora wa Afrika, huku Mbwana Samatta raia wa Tanzania
anayechezea klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo
yeye ameteuliwa kuwania tuzo ya Mchezaji bora wa Afrika anayechezea timu
za Afrika.
Wachezaji 25 watawania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika na 21 Mchezaji bora wa Afrika anachezea timu za ndani ya Afrika.
Washindi wa tuzo hizo wanatarajiwa kutangazwa Januari 9, mwaka 2014 mjini Lagos nchini Nigeria.
Orodha kamili ya wachezaji waliotangazwa na CAF na timu wanazotoka hii hapa chini.
Mchezaji wa bora wa CAF Afrika
1. Ahmed Musa - Nigeria - CSKA Moscow
2. Asamoah Gyan - Ghana - Al Ain
3.Dame N'Doye - Senegal - Locomotiv Moscow
4. Didier Drogba - Cote d'Ivoire - Galatasaray
5. Emmanuel Emenike - Nigeria - Fenerbahce
6. Islam Slimani - Algeria - Sporting Lisbon
7. John Mikel Obi - Nigeria - Chelsea
8. Jonathan Pitroipa - Burkina Faso - Stade Rennais
9. Kévin Constant - Guinea - AC Milan
10. Kwadwo Asamoah - Ghana - Juventus
11. Luís Carlos Almada Soares (platini) - Cape Verde - AC Omonia
12. Mehdi Benattia - Morocco - AS Roma
13. Mohamed Aboutrika - Egypt - Al Ahly
14. Mohamed Salah - Egypt - Basel FC
15. Nicolas Nkoulou - Cameroon - Marseille
16. Pierre-Emerick Aubameyang - Gabon - Borussia Dortmund
17. Ryan Isaac Mendes da Graça - Cape Verde - Lille
18. Saladin Said - Ethiopia - Wadi Degla FC
Wednesday, 13 November 2013
BARUA YA POLISI WA UINGEREZA KWA TANZANIA KUMTAFUTA GODBLESS LEMA KWA KOSA LA KUMBAKA FLORA LYIMO..!


maelezo ya ziada ambayo uingereza walihitaji kutoka polisi ya Tanzania, ni haya hapa chini.
Ushahidi wa mbunge Godbless Lema kumbaka flora lyimo wazidi kubainika
Taarifa za kweli kuhusu mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema kumbaka mwanadada Flora Lyimo tarehe 8.8.2012 nchini Uingereza wakati wa ufunguzi wa tawi la chadema nchini humo umezidi kubainika.
Tarehe 2 -3, january 2013 akiwa tanzania, Flora aliwasilisha barua ya polisi wa uingereza kwa polisi kituo cha Moshi mkoani kilimanjaro na kufunguliwa jalada no.MOS/RB/17127/12.
Aidha tarehe 13/12/2012 Afisa upelelezi DC William Hughes wa kitengo cha uhalifu jeshi la polisi la uingereza kituo cha 4-6 shepherdess walk N17LF alifika ubalozi wa Tanzania nchini uingereza ili kujua pamoja na mambo mengine,
-Taarifa sahihi za GODBLESS LEMA
-Anuani yake
-Barua pepe
Ushauri kutoka mamlaka za Tanzania juu ya mikakati mizuri ya kushughulikia kesi hiyo ambayo inamuhusisha kiongozi wa chama kikubwa cha siasa na
-Wasifu wake.
Mbali na tukio hilo kuripotiwa ubalozini, vyanzo mbalimbali vya habari ikiwa ni pamoja na Gazeti la changamoto la tanzania toleo namba 348 la tarehe 18- 24 desemba 2012 lilichapisha taarifa ya tukio hilo kwenye ukurasa wake wa mbele.kwa kichwa cha habari "POLISI UINGEREZA WAMSAKA LEMA", Pia blog ya global publishers ya nchini tanzania katika report zake za tarehe 14 mei 2013 iliandika habari hiyo kwa kichwa cha habari "MREMBO;MBUNGE AMENIBAKA" Ambapo mrembo huyo (flora) alieleza alivyochaniwa na kufanyiwa kitendo hicho. alieleza kuwa lema alikuwa amemsindikiza mpaka nyumbani na walipofika LEMA aliomba aonyeshwe sehemu ya kujisaidia haja ndogo ndipo alipomvamia Flora na kumchania nguo na kutekeleza azma yake hiyo ovu.
Flora amekuwa akionekana katika shughuli mbalimbali za kijamii lakini ana wasiwasi kuwa anaweza kufanyiwa unyama na LEMA wakati akiwa Tanzania kwa sababu anasema anamfahamu lema pia kuwa ana asili ya ujambazi.
kiambatisho ni barua ya polisi wa kimataifa interpol kumweleza kuwa uchunguzi wa kesi yake unaendelea.
Chanzo:Jamii Forums
"Diamond Platnumz siwezi kumlinganisha hata kidogo na Alikiba..." MASOUD....!SOMA ZAIDI HAPA!

mengi.

Moja ya swali aliloulizwa ni “Labda kuna tamasha wewe ndio muandaaji au wamekwambia uchague mwanamuziki ambaye ataenda kuburudisha kwenye hilo tamasha Tanzania utamchagua mwanamuziki gani?”
Masoud ambaye anasifa ya kuongea kwa uwazi bila kupindisha maneno alimtaja Alikiba kuwa ndiye msanii pekee wa bongo fleva anayemkubali kuliko mwingine yeyote.
“Mimi wa kwanza nitakayempendekeza aaah nani huyu, nampenda sana katika wasanii wote wa bongo fleva, Alikiba, Alikiba nampenda sana. Alikiba kama umemsikiliza, Rhyme zake zile katikati ya zile bars anavyoimba ni mwanamuziki kama angekuwa nje ya nchi asingekamatika. Angepata producer mzuri wa kumfahamisha nini cha kuimba beat gani atumie, Alikiba yuko juu sana.” Alijibu Masoud
Aliendelea na kuongeza kuwa Diamond anaweza kuwa anafanya vizuri sokoni lakini hawezi kumfikia hata kidogo Kiba katika uimbaji.
“Nyota imeng’aa kwa Diamond Platnumz lakini Diamond Platnumz siwezi kumlinganisha hata kidogo na Alikiba, kwenye kuuza huwezi kumlaumu anaweza kuwa Diamond akauza sana au akampandisha na si Tanzania tu, hata Hollywood wanafanya hivyo hata CBS wanafanya hivyo, hata US music industry wanfanya hivyo. Sasa mpaka wakiwepo watu wataalam wanaoweza kusema huyu anaimba sawa huyu haimbi sawa lakini kwenye mauzo hakuna mtu anajali hilo.”
HAYA NDIO MAISHA...!LADY JAYDEE 'ANACONDA' SASA YUPO MBIONI KUFUNGUA RADIO STATION YAKE.....!!

Hivi,tokea aanze muziki mwaka huo JIDE hajawahi kuchuja hadi leo hii bado yupo juu kimuziki hata kimaisha,kumbuka ni miaka kumi na tatu (13) sasa.Ki ukweli huyu msanii anahitaji heshima ya kipekee apa bongo na nchi za jirani pia.Hiki kitu sio cha kawaida kabisa kuwahi kutokea apa bongo.
Achilia mbali mafanikio aliyoyapata ya kujenga jumba la kifahari,kumiliki mgahawa wa kisasa (NYUMBANI LOUNGE),kumiliki band ya music,kufungua STUDIO YA MUZIKI,na hivi karibuni yupo njiani kufungua RADIO STATION yake binafsi,can u imagine???,kufungua radio station sio kitu cha kawaida hata kidog especially kwa wasanii wetu wa apa bongo.Kwa sasa HAKUNA msanii yeyote awe wa kike au wa kiume mwenye ubavu wa kushindana na huyu bidada,SHE IS THE NUMBER ONE.
Kama ulikuwa hujui huyu ndiyo KOMANDO na huu ndiyo UCHAWI ambao msanii yeyote wa bongo mwingine hajaweza kufanya..!!
PROFESA LIPUMBA AENDA KUIFARIJI FAMILIA YA DR MVUNGI


PROFESA LIPUMBA AKISAINI KITABU CHA RAMBI RAMBI
Monday, 11 November 2013
DIAMOND AFUNGUKA JUU YA YEYE KUMUOA WEMA SEPETU...

Swali kwa Diamond liliibuka baada ya kuzagaa kwa tetesi kwenye mitandao ya kijamii kwamba yu mbioni kumvisha pete ya uchumba mmoja wa mademu zake. Swali hilo lilimfanya Diamond afunguke kwa kusema kwamba anachokijua yeye na ambacho kipo kwenye mikakati yake, mke wake mtarajiwa ni Penny. “Najua wengi wanahisi mimi ninaweza kuoa mwanamke zaidi ya mmoja kutokana na dini yangu kuruhusu lakini jambo hilo mimi silifikirii hata kidogo kwa kuwa kwenye maisha yangu nilishapanga nitaoa mke mmoja tu,” alisema Diamond. Akaendelea: “Watu wanasema mengi juu yangu na Wema, wengi wao hawajui nafsi yangu inataka mwanamke yupi, ninachoweza kusema na watu wakasikia na kunielewa basi wajue kwamba Penny ndiye mke wangu, Wema asitegemee kuolewa na mimi.” Diamond alikwenda mbele zaidi kwa kumwanika Penny kwamba ana sifa ya kuwa mke kwani ni mvumilivu sana na anaonesha upendo wa dhati kwake. “Kwa maana hii basi hakuna mwanamke mwenye jina kubwa wala sura nzuri zaidi ya Penny ninayeweza kumwita mke wangu. Najua kila mtu ana namna yake ya kuchagua ampendaye, ndiyo maana utaona watu wanasema hili mara lile, lakini hawajui nafsi yangu inataka mwanamke wa aina gani,” alisema Diamond na kuongeza: Kama kuna demu anayejipa matumaini hayo basi asitegemee hata siku moja kwa sababu kuoa kwangu kutazingatia mke mwema na si bora mke, Penny pekee ndiye mwenye sifa za kuwa mke wangu,” alisema Diamond. Juzi Ijumaa Wikienda lilimpigia simu Penny ili kutaka kupata maoni yake kuhusu tamko la Diamond, lakini muda mrefu simu hiyo ilikuwa ikiita bila kupokelewa. Baada ya kumkosa Penny, Ijumaa Wikienda lilimtwangia simu Wema, naye kama Penny, simu yake iliita mara kadhaa lakini haikupokelewa
Facebook Blogger Plugin by JustNaira.com | Get Widget
Saturday, 9 November 2013
HATIMAYE MAMA DIAMOND AZUNGUMZIA PENZI JIPYA LA WEMA SEPETU KWA DIAMOND, UNAJUA KASEMA NINI? SOMA HAPA

Habari za chini ya kapeti zilitonya kuwa baada ya kuambiwa na kuoneshwa picha za Diamond akiwa kimahaba na Wema alikuja juu akidai kuwa hamtaki Wema kwa kuwa anamkubali zaidi Penniel Mungilwa ‘Penny’.
Akizungumza akiwa nyumbani kwake Sinza-Mori jijini Dar wikiendi iliyopita, bi’mkubwa huyo alisema kuwa kwa sasa hafahamu chochote kuhusu Diamond kurudiana na Wema zaidi ya kusikia kwa watu na kuona picha katika mitandao ya kijamii.
“Kuhusu Nasibu (Diamond) kurudiana na Wema, nasikia tu na kuoneshwa picha namsubiri Nasibu arudi kisha nikae naye ndipo nitatoa tamko,” alisema mzazi huyo.
Mapaparazi wa Ijumaa Wikienda kadiri walivyozidi kumchimba mama mkwe huyo wa Wema ni jinsi gani anavyojisikia kuhusu tabia ya kubadilisha wanawake kama nguo, ikizingatiwa yeye ni mzazi haoni kama mwanaye anamfedhehesha alisema kuwa hayo ni maisha yake.
“Hayo ni maisha yake na mwenyewe kwa kuwa ameshazoea kuonekana katika magazeti kila wakati mi niongee nini wakati ndiyo maisha aliyojiwekea,” alimalizia kusema.
HUYU NDIYE MCHAWI ALIYEDONDOSHWA NA MAOMBI YA MAKOMANDOO WA VHM ALFAJIRI

TEAM NEWS: WHO IS FIT
ARSENAL:Normally, Flamini and Walcott will join us in the session this morning. Wilshere will join in as well, so we will see how they are after the session today.
UNITED: David Moyes will be hoping to have Michael Carrick, Jonny Evans and Rafael in contention after injuries ruled the trio out of the trip to San Sebastian. Marouane Fellaini will be available as the suspension for his red card at Estadio Anoeta, of course, only applies in Europe. Jack Wilshere was due for tests on the injured ankle that sidelined him for the Liverpool and Dortmund fixtures, but Arsene Wenger was more hopeful over the possibility of a return for Theo Walcott and Mathieu Flamini.
ANGALIA PICHA JUMA KASEJA AKISAINI MKATABA YANGA
Mlinda mlango nambari moja nchini Tanzania kwa kipindi kisichopungua miaka 10 mfululizo Juma Kaseja Juma jana majira ya saa 2 usiku alisaini mkataba wa kuitumikia klabu ya Young Africans yenye makao yake Twiga/Jangwani kwa kipindi cha miaka miwili.
Usajili wa Juma Kaseja kujiunga na klabu ya Yanga unafuatia mapendekezo ya benchi la ufundi katika ripoti waliyoikabidhi kwa kamati ya mashindano kwa ajili ya kuboresha kikosi
Juma Kaseja akisani mkataba wa kuicheza Yanga kwa miaka miwili mbele ya mwenyekiti wa kamati ya mashindano Bin Klebl

KASEJA APATA ZALI
Kipa
Juma Kaseja amesaini mkataba wa kuichezea Yanga rasmi, mkataba huo
umesainiwa jana Ijumaa na ataanza kuitumikia timu hiyo katika mzunguko
wa pili wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara. Kaseja amesaini kwa dau la Sh
milioni 40.
NIPO TAYARI KUCHANGIA PENZI LA DIAMOND PLATINUMZ NA WEMA SEPETU: VJ PENNY
Mtangazaji wa kituo cha televisheni cha DTV, Peniela Mwingilwa
‘Penny’, ambaye ni mpenzi wa mkali wa Bongo Fleva Diamond Platinumz amesema yupo tayari kuchangia mapenzi na msichana mwingine
yeyote ambaye atachukuliwa na mwanaume huyo anayempenda.
Penny ambaye ni chaguo la mama mzazi wa staa huyo wa kibao cha My Number One,
aliiambia Globalpublishers maneno hayo, yanayotafsiriwa kama yupo tayari
kuchangia mapenzi na hasimu wake, Wema Sepetu ambaye ni Miss Tanzania 2006n na muigizaji wa filamu Swahiliwood
Penny katika Penny na Wema.
Friday, 8 November 2013
WANAFUNZI WAWILI WA CBE WAPATA AJALI YA PIKIPIKI NA KUFARIKI MKOANI DODOMA

Baadhi
ya watu wakiisogeza miili ya Wanafunzi wa CBE Dodoma walikufa kutokana
na kuligonga tela la lori kwa nyuma kutokana na mwendo kasi huku lori
hilo likiwa limetelekezwa zaidi ya wiki bila alama yoyote barabarani
hapo.
Miili
ya Marehemu Ramadhan Lesso na Gerge Lwandala inaonakana kabla ya
kuondolewa katika kijiji cha Ihumwa barabara ya Morogoro Dodoma kabala
ya kuondolewa na kuhifadhiwa katika chumba cha maiti hospital ya mkoa.
Tuesday, 9 July 2013
WEMA SEPETU ASAKWA NA POLISI KWA KOSA LA KUMSHAMBULIA MENEJA WA HOTELI

DIVA wa filamu za Bongo ambaye pia ni Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu anasakwa na Jeshi la Polisi Kituo cha Kawe, Dar es Salaam kwa tuhuma za kufanya fujo hotelini, kumtukana matusi ya nguoni na kumpiga makofi meneja wa hoteli hiyo, Godluck Kuyumbu. Songombingo hilo lilijiri saa tano usiku wa Jumatano iliyopita kwenye hoteli hiyo iliyopo Kawe Beach, jijini Dar.
Akizungumza
na mwandishi wetu , meneja huyo alisema siku ya tukio majira ya saa
nane mchana, Wema alifika kwenye mgahawa wa hoteli hiyo akiwa
ameongozana na marafiki zake wapatao kumi.
Meneja huyo akaendelea kusema, ilipofika saa tano usiku, Wema na marafiki zake walionekana kuzidiwa na kilevi, wakaanza kufanya fujo kwa kupiga kelele, kitendo kilichowakera wateja waliokuwa katika mgahawa huo, wengi wakiwa ni Wazungu ambao waliondoka kutokana na fujo hizo.
Aliongeza kuwa mmoja wa marafiki wa Wema ambaye ilidaiwa ni mpenzi wake, aliyejulikana kwa jina moja la D, alichukua glasi na kuipasua chini kwa makusudi huku meneja huyo akishuhudia.
Saturday, 22 June 2013
BOB JUNIOR APEWA KIPIGO KIKALI KARIAKOO BAADA YA KUIBA....NI KATIKA UTENGENEZAJI WA VIDEO YAKE MPYA YA KIMBIJI
Friday, 21 June 2013
WANAFUNZI UDSM WAPIGWA RISASI

Wanafunzi hao wanaosemekana kuwa ni wa mwaka wa nne na wa mwisho wa masomo walikuwa wanajisomea na kuandaa “Disertation” zao na kujikuta wakivamiwa na watu wanne na kuamuriwa watoe komputa zao na pochi za fedha. Kwa mujibu wa chanzo cha habari hii kutoka chuoni hapo, wanafunzi hao walikubali kuwapa komputa hizo na pochi za fedha, na majambazi kuanza safari yao.
Baadaye wanafunzi hao wakawaomba wapate hata nakala (Soft Copy) ya vitu vyao, na ndipo mmoja wao akaamua kuwafuata na kukumbana na risasi tumboni. Mwanafunzi huyo baada ya kupigwa risasi alianguka chini na kugaagaa chini huku akikosa msaada wa kupelekwa Hospitalini.
Chanzo kimeendelea kusema kuwa wanafunzi wa Chuo hicho waliwasiliana na uongozi ili kupata gari ili wamkimbize mwenzao Hospitalini, lakini ilipita takribani nusu saa hakuna majibu na ndipo walipoamua kujikusanya na kuamua kuwafuata viongozi. Kwa sasa mwanafunzi huyo amekimbizwa Hospitalini kupata matibabu zaidi na mpaka sasa hakuna taarifa yoyote iliyotoka, ingawa FULLSHANGWE inajitahidi kufuatilia suala hilo ili kupta taarifa zaidi na picha za tukio hilo.
HOUSEGIRL AJIRUSHA KUTOKA GHOROFANI

Tukio hilo lilijiri mapema asubuhi ya Juni 18, mwaka huu kwenye makutano ya Mtaa wa Nyamwezi na Mkunguni eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa majirani, baada ya kuona moto huo ulioambatana na wingu zito la moshi ukitoka kwenye jengo la jirani, hausigeli huyo alitoka dirishani na kutaka kujirusha chini bila kujali nguo zilizokuwa zikimvuka katika purukushani hiyo.
Alifanikiwa kukaa kwenye sehemu ya ukingo wa ghorofa hilo na kujiandaa kwa tukio la kwenda chini akiamini atakuwa amejiokoa na moto huo.
Hata hivyo, bosi wa hausigeli huyo alipoona zoezi hilo la hatari alitoa mkono dirishani na kumvutia ndani mfanyakazi wake huyo tukio ambalo lilijiri muda mfupi kabla ya Kikosi cha Zima Moto kufika na kufanikiwa kuuzima bila kujeruhi mtu.
NAY WA MANZESE AMPIGISHA MLEGE DEMU WAKE
![[clip_image002%255B5%255D.jpg]](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi-398pKF0_KZkq0Xjmc6OoxzYZFy9fKQStJzqJZlqPksfT-vaXeA-nabbKit7KDnNeg3_4kA5h28dmP9Otu0BKfJW4CdKgSERNEFgMNFLwhbJrTGmu8sn3FRBS11Rslkk54qqsnrsh9gw/s1600/clip_image002%25255B5%25255D.jpg)
Thursday, 20 June 2013
DEMU WA BALLOTELI AWA KIVUTIO UWANJANI BRAZIL

uwanjani wakati Italia inacheza na Japan huku akiwa amevalia jezi ya Italia.
Kwa wasiomfahamu wanaweza kudhania kuwa mwanamitindo huyo ni raia wa Italia kwa uzalendo aliouonyesha akiwa uwanjani lakini yeye ni raia wa Ubelgiji . Uwepo wa Fanny uwanjani unaonekana kumsaidia Super Mario ambaye alifunga moja ya mabao yaliyoisaidia Italia kushinda 4-3.
Hivi karibuni Mrio alimvika mpenzi wake Fanny pete ya uchumba yenye thamani ya paundi laki moja baada ya tetesi kuwa zimesikika juu ya wawili hao kuachana kwenye mataa.
Tuesday, 18 June 2013
SABABU ZA JESHI LA POLISI KUTUMIA NGUVU YA MABOMU JIJINI ARUSHA MUDA HUU

Jeshi la polisi limekipiga marufuku chama cha demokrasia na maendelo(CHADEMA)kufanya shughuli zozote za kuaga miili ya marehemu kwenye viwanja vya Soweto kwani zoezi la uchunguzi bado linaendelea kwenye viwanja hivyo .
Akizungumza
ofisini kwake kamanda wa polisi mkoani Arusha, Liberatus Sabas amesema
kutokana na uchunguzi unaoendelea wa tukio la bomu kwenye viwanja hivyo
imeonelea kuwa si busara kuweka mkusanyiko wa watu kwani kutaharibu
upelelezi.
Kamanda Sabas amedai kuwa jeshi la polisi liliwataka viongozi wa chama hicho kuwaeleza wafuasi wao mahali sahihi watakapoweza kufanyia shughuli hiyo lakini si kwenye viwanja hivyo.
Hali
kwenye viwanja hivyo imekuwa ya pilika pilika tangu juzi kwa wafuasi
wa chama hicho kujikusanya tokea asubuhi hadi jioni kwa madai ya
kuomboleza ..
Wakati mabishano hayo yakiendelea, Askari Polisi mmoja alijichanganya na kuingia
katikati ya wafuasi wa Chadema pembeni mwa uwanja huo ambao walikua wanasubiri kujua utaratibu
wa kuaga miili ya Marehemu waliolipuliwa na bomu June 15 2013.
BreakingNewzzzz...:Sugu apata ajali akiwa njiani kuelekea Arusha
..Mbunge
wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi amepata ajali hivi punde katika eneo la
kasheki wilayani Hanan'g akielekea Arusha mjini.
Joseph Mbilinyi maaru Sugu alikuwa
akielekea Arusha mjini kuungana na wabunge wengine ktk shughuli ya kuaga
marehemu
waliolipukiwa na bomu kwenye mkutano wa Chadema, mwishoni mwa
wiki iliyopita.
Katika ajali hiyo hakuna mtu yoyote
amejeruhiwa, Mbunge huyo yuko salama, gari la Sugu limeharibiwa vibaya
baada ya kugongana na basi la abiria.

MTANZANIA NANDO HATARINI KUTOLEWA BIG BROTHER ..KURA YAKO MUHIMU KUMUOKOA
Ni wiki tatu zimepita tukishuhudia Eviction shows tatu zilizowapa
tiketi za kurudi makwao washiriki 6 mpaka sasa, na tumeshuhudia mshiriki
wetu Feza Kessy akiponea kwenye tundu la sindano baada ya kura za wa
Tanzania na wa Afrika kumuokoa, sasa ni zamu ya Nando ambaye yuko
hatarini wiki hii.
Big Brother jana ametaja majina ya washiriki 7 ambao wako hatarini
kutoka wiki hii na kati yao yupo kijana mpole, mtanashati, ‘handsome’
Nando anaeiwakilisha Tanzania, ikiwa ndio mara yake ya kwanza
kupendekezwa .
Washiriki wengine walipigiwa kura nyingi kutoka wiki hii ni love
birds Bolt na Betty, ambao hii si mara yao ya kwanza kupendekezwa baada
ya kuponea chupuchupu kwa mara kadhaa.
Kenya wiki hii iko salama kwa mshiriki wao mmoja aliyesalia Annabel,
japo kuwa alipendekezwa kutoka wiki hii lakini kilichomuokoa ni yeye
kuwa mkuu wa nyumba ya Diamond, hivyo amepata favor ya kujiokoa
mwenyewe na nafasi yake akampendekeza Motamma wa Botswana.
Kwa ujumla walioingia wiki hii ni Nando wa Tanzania, Natasha wa
Malawi, Oneal wa Botswana, Motamma wa Botswana, Betty wa Ethiopia, Bolt
wa Sierra Leon na Elikem wa Ghana.
Tanzania bado ina nafasi nzuri sababu washiriki wote wawili Nando na
Feza wapo mjengoni na ndio maana unakila sababu ya kumpigia kura mara
nyingi uwezavyo Nando ili aweze kubaki wiki hii.
Washiriki wawili kati
ya saba waliopendekezwa watapita kwenye mlango wa ‘EXIT’ mjengoni hapo
Jumapili hii (June 23) wakati wa Eviction Show.
Monday, 17 June 2013
SINTAH AMTOLEA UVIVU OMMY DIMPOZ NA KUMPA LAKE LA ROHONI

Sinta ameandika haya yafuatayo katika website yake:
MDOMO UMEMPONZA HUYU KIJANA
sasa wewe unataka kuniambia u have invested na hutegemei show?? kumbuka sisi mashabiki wako ndio tumekuweka hapo juu na ku support music wako haya tukiacha kupenda nyimbo zako na ukakosa show itakuwaje??? umenizije sasa kumkejeli mwenzio tena kwenye kipaza sauti next time uliza nini cha kuongea ndio maana wenzenu wanakuwa na managers wa kuwa guide sio unaongea tu coz usikike. wenzio walionyamaza uliwaona mafala sio?? au ulitaka utoke kama hivi tukuongeleee cheap cheap fame.
kauli yako uko sahihi ila kwanini usingeiongelea ktk interviews zako kama ushauri kwa wasanii wenzio na ukaifanya ni big issue ktk msiba wa mwenzio??
nimekupa langu la roho kazi kwako sasa ukinichukia sijali, ukinipenda sawa coz naongea ukweli na wananchi waliokerwa wamenituma na sikuwepo ila wamerekodi wakaniambia CEO ifanyie kazi Ommy D katukwaza" says Sintah
Facebook Blogger Plugin by JustNaira.com | Get Widget
ASANTE KWA KUPATA HUDUMA ZETU,TUNAKUOMBA BOFYA LIKE KUUNGANA NASI FACEBOOK
Subscribe to: Post Comments (Atom)
page counter
?
X
Recommended for you
Subscribe to:
Posts (Atom)
No comments:
Post a Comment