Saturday, 20 April 2013

ARSENAL YAICHAPA FULHAM



Per Mertesacker (second right) celebrates his goalHatimaye klabu ya ligi kuu ya England washika bunduki wa jiji la london wamefanikiw kuibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya clab ya fulham,bao la arsenal lilifugwa mnamo dakika ya 43 kupitia beki wake mahili wa timu ya taifa ya ujerumani per mertesacker kufuatia kuunanisha vizuri klosi iliyotua kichwani mwa beki koscielny na per kumalizia.

No comments:

Post a Comment