
Thursday, 25 April 2013
Wednesday, 24 April 2013
MSANII WA BONGO FLEVA 2NDA MAN KATIKA MUONEKANO MPYA WA NYWELE

Muonekano huo mpya wa style ya nywele zake [pichani] umeonekana kuwashangaza watu kwa jinsi ulivyokuwa wa kipekee ...
Haijafahamika ameutoa wapi na ni kwa ajili gani anautumia, ila hivi ndivyo anavyoonekana sasa Tunda Man kichwani kwake .
Saturday, 20 April 2013
MSIMAMO LIGI KUU ENGLAND
Position | Team | Played | Goal Difference | Points |
---|---|---|---|---|
1 | Man Utd | 33 | 40 | 81 |
2 | Man City | 32 | 31 | 68 |
3 | Arsenal | 34 | 30 | 63 |
4 | Chelsea | 32 | 31 | 61 |
5 | Tottenham | 32 | 15 | 58 |
6 | Everton | 34 | 13 | 56 |
7 | Liverpool | 33 | 19 | 50 |
8 | West Brom | 33 | -1 | 45 |
9 | Swansea | 33 | 1 | 42 |
10 | West Ham | 34 | -7 | 42 |
11 | Fulham | 34 | -8 | 40 |
12 | Southampton | 34 | -7 | 39 |
13 | Norwich | 34 | -20 | 38 |
14 | Sunderland | 34 | -7 | 37 |
15 | Stoke | 34 | -11 | 37 |
16 | Newcastle | 34 | -17 | 37 |
17 | Aston Villa | 33 | -24 | 34 |
18 | Wigan | 33 | -23 | 31 |
19 | QPR | 34 | -27 | 24 |
20 | Reading | 34 | -28 | 24 |
MATOKEO MENGINE ENGLAND
-
QPR 0 - 2 Stoke
-
Sunderland 1 - 0 Everton
- West Ham 2 - 0 Wigan 20 Apr 2013 Premier League
- Today's football gossip column 15 Jan 2013
- End of season ups and downs 20 Apr 2013 Football
ARSENAL YAICHAPA FULHAM

SEREKARI YA TANZANIA YATANGAZA KUHUSU DARASA LA SABA KUJIUNGA NA CHUO KIKUU
http://www.mwananchi.co.tz wameripoti leo kwamba Tume ya Vyuo Vikuu Nchini (TCU) imepanga kuanza kuwadahili wanafunzi wa kujiunga na masomo ya vyuo vikuu kwa kutumia uzoefu wao ambapo udahili huo utakaoanza mwaka huu wa masomo 2013/14, utakuwa ukiwahusisha wale ambao elimu yao imeishia darasa la saba na kuendelea, lakini walikosa sifa ya kuendelea na masomo kwa ngazi ya chuo kikuu.
Kupitia utaratibu huo mpya, mtahiniwa atajiunga na Chuo Kikuu kulingana na fani atakayoiomba na atatakiwa kufanya mitihani mitatu na kufaulu kwa wastani wa daraja B ambapo Mkurugenzi wa Ithibati na Ubora wa Elimu ya Juu kutoka TCU, Dk Savinus Maronga aliliambia Mwananchi kwamba baada ya kuona kuna watu wengi wanaopenda kuendelea na masomo ya elimu ya juu lakini wameshindwa kutokana na kutokuwa na vigezo, TCU imeamua kuanzisha mitihani hiyo maalumu.
Alisema kuwa mfumo huo unaojulikana kama ‘Recognition of Prior Learning’ (RPL), utamwezesha mwombaji kudahiliwa vyuoni kupitia tume hiyo kama wanavyofanya watahiniwa wengine, Sifa zinazotakiwa ili kujiunga…. mwombaji anatakiwa kuwa na umri kuanzia miaka 25 na kuendelea, sambamba na kuwa na elimu isiyopungua darasa la saba, atakiwa kuwa na nia ya kujiunga na elimu ya chuo kikuu na uzoefu wa kile ambacho anakusudia kukisoma, awe na uwezo wa kuandika na kusoma Lugha ya Kiingereza, ambayo ndiyo inayotumika kufundishia vyuo
Subscribe to:
Posts (Atom)