Pages
HOME
SEARCH
NEWS
FACEBOOK
MY WALL
GOOGLE
Thursday, 13 June 2013
Habari zilizo fika kutoka kwa familia ya msanii langa zinasema kuwa ndugu yao amefariki dunia katika hospital kuu ya taifa ya muhimbili kwa kile kilichodaiwa kuwa alipatwa na malaria kali.MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU LANGA MAHALA PEMA PEPONI.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment